iqna

IQNA

kombe la dunia la qatar
Harakati ya Hizbullah na Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa "Twitter" ambapo ameipongeza Morocco kwa ushindi wa timu ya kandanda ya nchi hiyo dhidi ya Uhispania hiyo jana na kufuzu kuingia robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar.
Habari ID: 3476211    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/07

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Mashabiki wa Tunisia waliinua bendera ya 'Palestine Huru' dakika ya 48 dhidi ya Australia kumkumbuka Tukio la Nakba.
Habari ID: 3476156    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27